Mjumbe wa KM kwa Usomali aomba mateka wa MSF waachiwe huru
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Ahmedou Ould-Abdallah amesema ameshtushwa na utekaji nyara wa wafanyakazi wawili wa shirika la madakatari, lisio la kiserekali la Medecins Sans Frontieres (MSF) uliojiri karibuni katika mji wa Bosasso, Puntland.