Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mjumbe wa KM kwa Usomali aomba mateka wa MSF waachiwe huru

Mjumbe wa KM kwa Usomali aomba mateka wa MSF waachiwe huru

Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Ahmedou Ould-Abdallah amesema ameshtushwa na utekaji nyara wa wafanyakazi wawili wa shirika la madakatari, lisio la kiserekali la Medecins Sans Frontieres (MSF) uliojiri karibuni katika mji wa Bosasso, Puntland.