Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Afrika itayari kupokea vitegauchumi kuimarisha teknolojia ya mawasiliano ya kisasa

Afrika itayari kupokea vitegauchumi kuimarisha teknolojia ya mawasiliano ya kisasa

Mkutano Mkuu wa Kuunganisha Afrika kwa kutumia njia ya teknolojia ya mawasiliano ya habari ya kisasa ya kompyuta, ulifanyika wiki hii kwa siku mbili mjini Kigali, Rwanda kwa lengo la kuboresha na kuimarisha maendeleo barani humo.