Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vikosi vya UNAMID vyaanzisha operesheni mpya Darfur

Vikosi vya UNAMID vyaanzisha operesheni mpya Darfur

Vikosi vya mseto vya UM/UA kulinda amani katika Darfur, yaani vikosi vya UNAMID vilianzisha rasmi operesheni zake katika jimbo hilo la Sudan Magharibi mnamo mwisho wa Oktoba. Operesheni hizo zinaambatana na ufunguzi wa Makao Makuu ya UNAMID kwenye mji wa El Fashir.