Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM umethibitisha marubani wa helikopta ya UNMIL ilioanguka Liberia wamefariki

UM umethibitisha marubani wa helikopta ya UNMIL ilioanguka Liberia wamefariki

UM umethibitisha kwamba ile helikopta ya kuchukua mizigo iliyoanguka karibuni kwenye mji wa Ganta, Wilaya ya Nimba, kaskazini mashariki ya Liberia ilisababisha vifo vya marubani wawili na mhandisi wa ndege kutoka Shirikisho la Urusi ambao wa kihudumia operesheni za Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani Liberia (UNMIL).