Mkuu anayehudumia misaada ya kiutu kupigwa marufuku Sudan kusini
Wael al-Haj Ibrahim, mkuu wa operesheni za misaada ya kiutu Sudan amelazimishwa na Gavana wa jimbo la Darfur Kusini kuondoka kwenye eneo hilo baada ya kushtumiwa kukiuka sheria isiyobainishwa rasmi hadharani.