Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu anayehudumia misaada ya kiutu kupigwa marufuku Sudan kusini

Mkuu anayehudumia misaada ya kiutu kupigwa marufuku Sudan kusini

Wael al-Haj Ibrahim, mkuu wa operesheni za misaada ya kiutu Sudan amelazimishwa na Gavana wa jimbo la Darfur Kusini kuondoka kwenye eneo hilo baada ya kushtumiwa kukiuka sheria isiyobainishwa rasmi hadharani.