Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ban Ki-moon anasihi 'sheria za kulinda watoto ziheshimiwe'

Ban Ki-moon anasihi 'sheria za kulinda watoto ziheshimiwe'

KM Ban Ki-moon ameripotiwa akiunga mkono zile juhudi zinazoendelea za Serikali ya Chad katika kutafuta suluhu ya kuridhisha juu ya ule mgogoro wa karibuni, viliotukia nchini humo ambapo shirika lisio la kiserekali la Ufaransa, Arche de Zoé lilipojaribu kuwatorosha watoto 103 kutoka Chad bila ya idhini ya wazee wao.