Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za kupunguza vifo vya watoto wadogo na mama wazazi katika mataifa yanayoendelea

Juhudi za kupunguza vifo vya watoto wadogo na mama wazazi katika mataifa yanayoendelea

UNFPA ni shirika la UM linalohusika na udhibiti bora wa idadi ya watu duniani. Mchango wa UNFPA katika kuyasaidia mataifa kuchunga afya ya jamii ni mkubwa sana, hususan katika mataifa yanayoendelea.

Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.