Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

‘Enzi ya matumaini’ kwa Sierra Leone anasema Ban Ki-moon kwa kuapishwa rais mpya.

‘Enzi ya matumaini’ kwa Sierra Leone anasema Ban Ki-moon kwa kuapishwa rais mpya.

Akimpongeza rais Ernest Bai Koroma kwa kula kiapu kama rais mpya wa Sierra Leone, katibu mkuu wa UM Ban Ki-moon alitangaza kwamba Sierra Leone inaingia katika enzi ya matumaini, lakini alionya kwamba mptio kuelekea amani, utulivu na ukuwaji wa uchumi wa kudumu baada ya miaka mingi ya vita itakua ngumu.