Cameroon inahitaji misaada ya dharura kuhudumia kihali wahamiaji wa CAR
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imetoa ombi maalumu linaloitaka jumuiya ya kimataifa kuharakisha mchango wa misaada ya kihali kunusuru maisha ya wahamaiji 45,000 wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wanaoishi sasa hivi kwenye eneo la mashariki katika taifa la Cameroon.