Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM bado kuendeleza operesheni za kihali kwa waathiriwa wa mafuriko Uganda

UM bado kuendeleza operesheni za kihali kwa waathiriwa wa mafuriko Uganda

Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura Duniani (OCHA) imeripoti mafuriko bado yanaendelea kuisumbua Uganda, hali ambayo imeilazimisha UM kuendeleza zile operesheni za kuhudumia misaada ya kihali ya kunusuru maisha ya raia waathiriwa na janga hili la kimaumbile. OCHA imeripoti kuhitajia mchango ziada wa dharura, kuweza kukidhia mahitaji ya kimaisha ya umma husika.