Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR inakabiliwa na upungufu mkubwa wa fedha za kuhudumia wahamiaji wa Sudan

UNHCR inakabiliwa na upungufu mkubwa wa fedha za kuhudumia wahamiaji wa Sudan

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuwa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa fedha ambazo zinahitajika haraka kutumiwa kwenye zile huduma za kuwarejesha makwao Sudan Kusini wahamiaji waliopo mataifa jirani, na pia kuwahudumia kihali wahamiaji milioni 2 wengine wa kutoka Darfur magharibi.