11 Oktoba 2007
KM wa UM Ban Ki-moon amenakiliwa akisema kuwa anakhofia kuharibika kwa hali ya utulivu kwenye ile sehemu ya mpakanai kati ya Ehtiopia na Eritrea ijulikanayo kama Eneo la Usalama wa Muda (TSZ).
KM wa UM Ban Ki-moon amenakiliwa akisema kuwa anakhofia kuharibika kwa hali ya utulivu kwenye ile sehemu ya mpakanai kati ya Ehtiopia na Eritrea ijulikanayo kama Eneo la Usalama wa Muda (TSZ).