Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM kuwapongeza watunukiwa Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2007

KM kuwapongeza watunukiwa Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2007

KM wa UM Ban Ki-moon amepongeza uamuzi wa Kamati ya Nobel kwa kutunikia, shirika, Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2007 kwa aliyekuwa Makamu-Raisi wa Marekani Al Gore na pia kwa ile Tume ya Serikali za Kimataifa ya Kudhibiti Mabadiliko ya Hali ya Hewa Duniani (IPCC).