KM kuwapongeza watunukiwa Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2007
KM wa UM Ban Ki-moon amepongeza uamuzi wa Kamati ya Nobel kwa kutunikia, shirika, Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2007 kwa aliyekuwa Makamu-Raisi wa Marekani Al Gore na pia kwa ile Tume ya Serikali za Kimataifa ya Kudhibiti Mabadiliko ya Hali ya Hewa Duniani (IPCC).