WHO yatoa onyo la kutahadharisha mfumko wa kipindupindu Usomali
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti watu saba karibuni walikutikana kuambukizwa ugonjwa wa kipindupindu katika Usomali kusini. Maradhi haya yanaonekana kuibuka tena nchini miezi mitatu tu baada ya kuua zaidi ya watu 1,100.