Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO yatoa onyo la kutahadharisha mfumko wa kipindupindu Usomali

WHO yatoa onyo la kutahadharisha mfumko wa kipindupindu Usomali

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti watu saba karibuni walikutikana kuambukizwa ugonjwa wa kipindupindu katika Usomali kusini. Maradhi haya yanaonekana kuibuka tena nchini miezi mitatu tu baada ya kuua zaidi ya watu 1,100.