Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM anakhofia athari zisioridhisha baada ya SPLM kukata ushirikiano na Serikali ya Muungano

KM anakhofia athari zisioridhisha baada ya SPLM kukata ushirikiano na Serikali ya Muungano

Kundi la SPLM la Sudan Kusini limetangaza mwanzo wa wiki kujitoa kutoka Serikali ya Muungano na Chama Tawala cha NCP na kuzusha mzozo wa kisiasa ndani ya nchi.

Sikiliza mahojiano kwenye idhaa ya mtandao.