Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM amewasilisha bajeti la dola bilioni 4.2 kujadiliwa na Baraza Kuu

KM amewasilisha bajeti la dola bilioni 4.2 kujadiliwa na Baraza Kuu

Kadhalika Alkhamisi KM Ban Ki-moon aliwakilisha kuzingatiwa mbele ya Baraza Kuu bajeti la kuendesha shughuli za UM katika miaka miwili ijayo liliogharamiwa dola bilioni 4.2