Mkutano wa Kamati ya Kuondowa Ubaguzi dhidi ya Wanawake
Kamishna mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Bi Louise Arbour hivi karibuni alipongeza kazi za Kamati ya Kuondowa kabisa Ubaguzi dhidi ya Wanawake, inapoadhimisha miaka 25 ya kufuatilia utekelezaji wa mataifa wa makubaliano hayo ya kihistoria.