Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa UM juu ya misaada ya dharura kutilia mkazo umuhimu wa suluhu ya kisiasa DRC

Mkuu wa UM juu ya misaada ya dharura kutilia mkazo umuhimu wa suluhu ya kisiasa DRC

Mnamo mwanzo wa wiki, John Holmes, Naibu KM juu ya Misaada ya Dharura aliripoti kwenye kikao cha faragha cha Baraza la Usalama juu ya hali ya kiutu kijumla katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) baada ya kulizuru eneo hili la Afrika ya Kati.