Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vijana wa kimatifa wakutana Ujerumani kusailia udhibiti bora wa mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni

Vijana wa kimatifa wakutana Ujerumani kusailia udhibiti bora wa mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni

Hivi majuzi wajumbe vijana 180 ziada kutoka mataifa 85 wanachama walikusanyika katika mji wa Leverkusen, Ujerumani kuhudhuria mkutano mkuu uliokuwa na makusudio ya kusailia taratibu za kuendeleza teknolojiya ya kisasa katika huduma za kuhifadhi mazingira katka ulimwengu. Asilimia kubwa ya vijana hawa walitaka kuhakikisha vizazi vya siku zijazo, hawatoelemewa tena na mzigo wa kimaisha unaotokana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa duniani. ~~Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.~~Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.