28 Septemba 2007
UM umeripoti kwamba Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Watoto (UNICEF) pamoja na mashirika wenzi kadha wamefanikiwa kuwachanja watoto milioni 2 nchini Uganda dhidi ya maambukizo ya shurua na polio.
UM umeripoti kwamba Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Watoto (UNICEF) pamoja na mashirika wenzi kadha wamefanikiwa kuwachanja watoto milioni 2 nchini Uganda dhidi ya maambukizo ya shurua na polio.