Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watoto milioni 2 wamefanikiwa kuchanjwa shurua na polio Uganda

Watoto milioni 2 wamefanikiwa kuchanjwa shurua na polio Uganda

UM umeripoti kwamba Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Watoto (UNICEF) pamoja na mashirika wenzi kadha wamefanikiwa kuwachanja watoto milioni 2 nchini Uganda dhidi ya maambukizo ya shurua na polio.