3 Agosti 2007
Baraza la Usalama kwa sauti moja liliidhinisha siku ya jumanne azimio la kupelekwa kikosi cha pamoja cha walinda amani wa UM na Jumuia ya Afrika, AU katika jimbo la Darfur huko Sudan.
Baraza la Usalama kwa sauti moja liliidhinisha siku ya jumanne azimio la kupelekwa kikosi cha pamoja cha walinda amani wa UM na Jumuia ya Afrika, AU katika jimbo la Darfur huko Sudan.