24 Agosti 2007
Kesi ya makosa ya jinai ya vita dhidi ya aliyekuwa raisi wa Liberia, Charles Taylor imeakhirishwa hadi mwakani na Mahakama Maalumu kwa Sierra Leone baada ya majaji wa Mahakama kuamua kuwapa mawakili wanaomtetea mshitakiwa muda zaidi wa kupitia na kudurusu kwa makini ushahidi.