WFP inahitajia dola milioni 22.4 kukidhia mahitaji ya chakula kwa Wasomali
Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeomba lifadhiliwe na jamii ya kimataifa mchango wa dola milioni 22.4 kukidhia mahitaji ya chakula kwa Wasomali milioni 1.2 katika jimbo la Shabelle, Usomali.