31 Agosti 2007
Baraza la Usalama limefanyisha mjadala rasmi wa hadhara, kuzingatia taratibu za kuyasaidia mataifa ya Afrika kujikinga na hatari ya kuteleza kwenye hali ya vurugu na migogoro.
Baraza la Usalama limefanyisha mjadala rasmi wa hadhara, kuzingatia taratibu za kuyasaidia mataifa ya Afrika kujikinga na hatari ya kuteleza kwenye hali ya vurugu na migogoro.