Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanamazingira Vijana Wakusanyika Ujerumani Kujadilia Hifadhi Bora ya Mazingira Duniani

Wanamazingira Vijana Wakusanyika Ujerumani Kujadilia Hifadhi Bora ya Mazingira Duniani

Kuanzia tarehe 26 hadi 30 Agosti 2007, katika mji wa Leverkusen, Ujerumani kulifanyika Mkutano wa Tatu wa Vijana wa Kimataifa wa Tunza, ulioandaliwa na Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira Duniani (UNEP).

Kwa taarifa kamili sikiliza idhaa ya mrtandao.