Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Umoja wa Mataifa waomba msaada kupambana na utapia mloo

Umoja wa Mataifa waomba msaada kupambana na utapia mloo

Na ripoti yetu ya pili kwa hii leo ni kwamba mashirika ya Umoja wa Mataifa huko Kenya yalitangaza wiki hii kwamba wanahitaji dola milioni 32 kutoka kwa wafadhili ili kuweza kupunguza kiwango cha utapia mloo ambacho wamesema kimefikia hali ya hatari miongoni mwa watoto chini ya miaka mitano ndani ya makambi ya wakimbizi. ~