Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu watoa mwito kutanzuliwa shida za kufikisha msaada Somalia

Wataalamu watoa mwito kutanzuliwa shida za kufikisha msaada Somalia

Waatalamu wawili huru wa UM wametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za kimataifa kukabiliana na tatizo la ukosefu wa usalama, kukimbia kwa raia kutoka makazi yao na uharamia, mambo yanayo zuia juhudi za kuwapelekea msaada wa chakula kwa maelfu ya wa Somali wanaokabiliwa na utapia mloo.