Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP yawasaidia wa Sudan baada ya mafuriko

WFP yawasaidia wa Sudan baada ya mafuriko

Mpango wa Chakula Duniani WFP umeanza kazi za kutowa huduma za dharura kwa kupeleka chakula na misaada kwa watu walio ondolewa kutoka makazi yao kati kati ya Sudan kutokana na mafuriko ya hivi karibuni.