Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Umuhimu wa Umoja wa Mataifa duniani

Umuhimu wa Umoja wa Mataifa duniani

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Bw Ban Ki-moon, amesema UM unaigia katika enzi ambayo inaweza kunawiri kwa sababu changa moto kuu duniani zimekua na utata sana, kiwango ambacho mataifa binafsi yanashindwa kuyatanzuwa wenyewe.