Umuhimu wa Umoja wa Mataifa duniani
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Bw Ban Ki-moon, amesema UM unaigia katika enzi ambayo inaweza kunawiri kwa sababu changa moto kuu duniani zimekua na utata sana, kiwango ambacho mataifa binafsi yanashindwa kuyatanzuwa wenyewe.