Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Sierra Leone: Mahakama inayoungwa mkono na UM yatoa hukumu ya kwanza

Sierra Leone: Mahakama inayoungwa mkono na UM yatoa hukumu ya kwanza

Mahakama maalum juu ya Sierra Leone inayoungwa mkono na UM imetoa hukumu yake ya kwanza wiki hii, ya vifungo virefu vya jela kwa viongozi watatu wa zamani wa waasi.