20 Julai 2007
Mahakama maalum juu ya Sierra Leone inayoungwa mkono na UM imetoa hukumu yake ya kwanza wiki hii, ya vifungo virefu vya jela kwa viongozi watatu wa zamani wa waasi.
Mahakama maalum juu ya Sierra Leone inayoungwa mkono na UM imetoa hukumu yake ya kwanza wiki hii, ya vifungo virefu vya jela kwa viongozi watatu wa zamani wa waasi.