20 Julai 2007
Naibu katibu mkuu anaeshughulikia operesheni za kulinda amani ametoa mwito wa kupatikana suluhisho la kisiasa na wala si la kijeshi kutanzua mzozo huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Naibu katibu mkuu anaeshughulikia operesheni za kulinda amani ametoa mwito wa kupatikana suluhisho la kisiasa na wala si la kijeshi kutanzua mzozo huko mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.