Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kupunguka kwa mazao 2007 kutasababisha upungufu wa chakula

Kupunguka kwa mazao 2007 kutasababisha upungufu wa chakula

Shirika la Chakula Duniani FAO, imeripoti kwamba upungufu wa kiwango cha uzalishaji nafaka mwaka huu katika mataifa maskini duniani huwenda kukapelekea kuwepo na hali ngumu ya akiba ya chakula, ambapo mataifa 28 yatakabiliwa na upungufu mkubwa zaidi wa chakula.