Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa huduma za dharura wa UM yuamulika atahri za ukame huko Kusini mwa Afrika.

Mkuu wa huduma za dharura wa UM yuamulika atahri za ukame huko Kusini mwa Afrika.

Mratibu wa huduma za dharura wa UM, Bw John Holmes alimulika wiki hii atahri za ukame sugu unaokumba nchi kadhaa za Kusini mwa Afrika, akisisitiza kwamba hali ni mbaya zaidi huko Swaziland. Alisema wanatarajia matatizo makubwa ya ukosefu wa akiba ya chakula katika eneo hilo.