Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za kufufua amani katika Darfur

Juhudi za kufufua amani katika Darfur

Jan Eliasson, Mjumbe Maalumu wa KM kwa Darfur alikuwa na mashauriano ya faragha na Baraza la Usalama kuhusu juhudi za kufufua huduma za usalama na ulinzi wa amani katika jimbo la magharibi la Sudan la Darfur.