Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Balozi mfadhili wa UNICEF aomba hifadhi bora kwa ama na watoto katika JKK

Balozi mfadhili wa UNICEF aomba hifadhi bora kwa ama na watoto katika JKK

Lucy Liu, Balozi Mfadhili wa Shirika la UM juu ya Mfiuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF), na ambaye vile vile ni mwigizaji maarufu wa michezo ya sinema katika Marekani juzi alitoa mwito maalumu karibuni baada ya kuzuru JKK ulioihimiza Serekali kuongeza juhudi zake za kuwapatia hifadhi bora na usalama watoto na wanawake raia walionaswa kwenye mazingira ya mapigano na uhasama.