29 Juni 2007
Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (MONUC) karibuni limeanzisha hatua mpya za kufufua tena hali ya utulivu na amani katika jimbo la mashariki la Kivu.
Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (MONUC) karibuni limeanzisha hatua mpya za kufufua tena hali ya utulivu na amani katika jimbo la mashariki la Kivu.