MONUC kuongeza juhudi za utulivu na amani katika Jimbo la Kivu
Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (MONUC) karibuni limeanzisha hatua mpya za kufufua tena hali ya utulivu na amani katika jimbo la mashariki la Kivu.