Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF kuonya, hali ya uchumi Zimbabwe huathiri zaidi watoto

UNICEF kuonya, hali ya uchumi Zimbabwe huathiri zaidi watoto

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limeripoti kuingiwa na wasiwasi mkubwa juu ya hali ya watoto Zimbabwe. Kwa mujibu wa taarifa ya UNICEF watoto ni fungu la raia ambalo huathiriwa na kusumbuliwa zaidi na hali ya kuporomoka kwa huduma za maendeleo nchini.