Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Taarifa juu ya hali Usomali

Taarifa juu ya hali Usomali

Ripoti ya karibuni ya KM juu ya Usomali imeelezea maelfu ya raia bado wanaendelea kuhajiri mji mkuu wa Mogadishu katika mwezi Juni, kwa sababu ya kufumka tena mapigano.