Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utekelezaji wa mafikiano na AU juu ya huduma za amani wahitajia kusawazishwa, yakiri Baraza la Usalama

Utekelezaji wa mafikiano na AU juu ya huduma za amani wahitajia kusawazishwa, yakiri Baraza la Usalama

Baraza la Usalama lilipata fursa ya kusikiliza ripoti juu ya matokeo ya ziara ya karibuni ya Tume yake maalumu ambayo ilitembelea Afrika, na ambayo iliongozwa shirika na Balozi Dumisani Kumalo wa Afrika Kusini pamoja na Balozi Emyr Jones-Parry wa Uingereza.