Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNMIS kuomboleza kifo cha mshauri wa Raisi Sudan

UNMIS kuomboleza kifo cha mshauri wa Raisi Sudan

Shirika la UM la Kulinda Amani Sudan Kusini (UNMIS) limetangaza masikitiko yake kuhusu kifo cha Dktr Majzoub Al Khalifa, Mshauri Mkuu wa Raisi wa Sudan kilichotukia kati ya wiki.