29 Juni 2007
Naibu KM Asha-Rose Migiro Ijumanne alihutubia Kikao cha Saba cha Kimataifa kilichojumuika kwenye mji wa Vienna, Austria kuzingatia taratibu za kurudisha hali ya kuaminiana kati ya wenye madaraka wenye kuendesha serekali na raia wanaotawaliwa.
Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.