Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Operesheni za amani za UNMIS na MINURSO zimeongezewa muda

Operesheni za amani za UNMIS na MINURSO zimeongezewa muda

Baraza la Usalama limepitisha maazimio mawili ya kuongeza muda wa operesheni za ulinzi wa amani za UM katika Sudan Kusini (UNMIS) na katika Sahara ya Magharibi(MINURSO) kwa miezi sita ziada, hadi mwisho wa Oktoba 2007. Muda wa operesheni hizo ulimalzika tarehe 30 Aprili.