UM imenuia kudumisha amani Cote d'Ivoire
Shirika la UM linalosimamia Huduma za Amani Cote d’Ivoire (UNOCI) majuzi liliongoza rasmi sherehe za kuwajumuisha kwenye brigedi mbili za jeshi la taifa wale raia waliokuwa waasi wakati uhasama wa wenyewe kwa wenyewe uliposhtadi siku za nyuma nchini mwao.