UM na AU kuteua Mjumbe Maalumu kwa Darfur
KM wa UM Ban Ki-moon na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) Alpha Oumar Konare wameteua pamoja Rodolphe Adada wa Jamhuri ya Kongo kuwa Mjumbe Maalumu atakayewakilisha huduma za amani katika jimbo la magharibi la Sudan la Darfur.