Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa UN-HABITAT anafafanua athari za mazingira haribifu katika miji

Mkuu wa UN-HABITAT anafafanua athari za mazingira haribifu katika miji

Kamisheni ya UM juu ya Maendeleo ya Kudumu (CSD) ilikutana hapa Makao Makuu kwenye mijadala ya wiki mbili na kuangaza ajenda yake kwenye yale masuala yanayoambatana na mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni, na namna mageuzi haya yanavyotatanisha huduma za maendeleo ya kiuchumi na jamii.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.: