KM Ban anayahimiza makundi ya Cote d'Ivoire kutekeleza kikamilifu maafikiano ya amani
Ripoti ya KM kuhusu Cote d’Ivoire iliotolewa karibuni imeelezea juhudi na hatua zilizochukuliwa na wenye madaraka nchini katika kuvitekeleza vifungu vya Mapatano ya Ouagadougou ya kurudisha utulivu na amani ya taifa lao.