Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP itaongeza huduma za chakula Usomali

WFP itaongeza huduma za chakula Usomali

Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeanzisha operesheni ziada kuhudumia chakula watu 122,500 nchini Usomali, wingi wao wakiwa watoto wadogo na wanawake, ambao waliathirika kihali kutokana na mapigano yaliofumka karibuni kwenye maeneo yao.