18 Mei 2007
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Francois Lonseny Fall ameshtumu vikali mauaji ya wanajeshi 4 wa Uganda wa vikosi vya ulinzi wa amani vya AU, yaliotokea hivi majuzi mjini Mogadishu, Usomali.
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Francois Lonseny Fall ameshtumu vikali mauaji ya wanajeshi 4 wa Uganda wa vikosi vya ulinzi wa amani vya AU, yaliotokea hivi majuzi mjini Mogadishu, Usomali.