Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maofisa wa UM washtumu mauaji ya wanajeshi 4 wa Uganda katika Usomali

Maofisa wa UM washtumu mauaji ya wanajeshi 4 wa Uganda katika Usomali

Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Francois Lonseny Fall ameshtumu vikali mauaji ya wanajeshi 4 wa Uganda wa vikosi vya ulinzi wa amani vya AU, yaliotokea hivi majuzi mjini Mogadishu, Usomali.