Maofisa wa UM washtumu mauaji ya wanajeshi 4 wa Uganda katika Usomali
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Francois Lonseny Fall ameshtumu vikali mauaji ya wanajeshi 4 wa Uganda wa vikosi vya ulinzi wa amani vya AU, yaliotokea hivi majuzi mjini Mogadishu, Usomali.